Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

HII NDIYO BAJETI YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR, ISOME IKO HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetangaza bajeti yake ya mwaka 2016 ambapo imepania kuongeza nguvu kwenye makusanyo ya kodi zilizokuwepo na kuwaahidi wafanyakazi wa kima cha chini wataanza kupata mshahara wa laki tatu kuanzia April mwakani.

Akisoma bajeti hiyo waziri wa fedha na mipango wa Zanzibar Dr Khalid Mohamed amesema hakuna kodi mpya itakayoanzishwa ila itaziendelea kodi kadhaa ambazo zipo lakini hazifanyiwi kazi huku akisema kuanzia mwaka ujao wa fedha malipo mengi ya kodi yataanza kuteklezwa ikiwa ni pamoja na malipo ya kodi za usafilishaji wa magari sasa yatafika Zanzibar na sio Tanzania bara,

huku pia serikali kuanzia sasa haitoruhusu gari kutokuwa na namba za usajili WZA Zanzibar na kuzirekebisha kodi kadha za ardhi, uuzaji wa nyumba miundombinu na  kodi ambazo ziko lakini hazitumiki.

Kuhusu maslahi ya wafanyakzi waziri wa fedha Dr Khalid Mohamed amesema serikali tayri imekubali kuongeza kiwango cha chini cha mishahara kuanzia April mwakani na pia kupunguza kiwango cha kodi ya mshahara ya wafanyakazi kutoka asilimia 13 hadi tisa.

Waziri wa fedha pia amesisitiza nia ya serikali kuendeshwa kwa misingi ya utawala bora na kuhakikisha  serikali inawatumikia wananchi kwa kuwawekea mazingira mazuri ya afya, elimu na miundombinu ya kisasa itaanza na mikakakati mpya wa kubana matumizi na kuhakikisha fedha zinatumika kwa maendeleo ya wananchi na kuzibana kodi za misamaha.

Bajeti hiyo ya Zanzibar kwa mwako ujao wa fedha inarajiwa kuwa ya shilingi biloini 841.5, ambapo bilioni  482.4 za mapato ya ndani, bilioni 324.8 kutokana na ruzuku na mikopo huku hadi sasa Zanzibar ina deni la taifa ni bilioni 398.6 na deni la nje  211.8 biloini.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top