Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

ALIKIBA AMESIGN SONY MUSIC LEBO, HABARI KAMILI IKO HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Leo Akiwa South Africa Alikiba Amesign Sony Music ,Lebo hii ambayo inawasimamia akina Chris Brown,Davido na John Legend itakuwa na Kazi ya kutangaza video na Audio za Alikiba Kimataifa na Duniani kote

Nitaleta Taarifa kamilii hapa!

Habari wapenzi wa burudani,

Yule nguli wa Bongo Fleva na staa wa Bongo Fleva, Ali kiba amesaini mkataba leo na kampuni ya Sony Music jijini Johannesburg,South Africa, moja ya vitu vilivyomo kwenye mkataba huu ni kampuni hii kubwa ya muziki duniani kusimamia pia video zake na audio kwa kuzilipia na kuzifikisha kwenye masoko makubwa ya muziki duniani.

Ali Kiba ameungana na mastaa wengine duniani waliosign Sony Music kama Davido (Nigeria) , Chris Brown ( Marekani) ,John Legend na wengineo.

Baada ya kusaini mkataba na SonyMUSIC leo, sasa kazi zake zitasimamiwa na SonyMusic duniani kote ambao watasimamia kazi zake kwa kiwango cha kimataifa, hiyo ni moja ya vitu watafanya

Tanzanian singer and songwriter Alikiba, Sony Music Entertainment Africa and ‪major african record label ROCKSTAR4000‬ have a groundbreaking announcement to make!

Just a few weeks after Davido signed a major deal with Sony Music, ROCKSTAR4000 is proud to announce that Alikiba will be the second major African artist signing with the prestigious label and will also be the first from East Africa.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top