Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

ILE ISHU YA POLICE NA LUGUMI ENTERPRISES YAUNDIWA KAMATI YA WABUNGE 9, ZAIDI BOFYA HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Hatimaye Kamati ya Kudumu ya Hesabu Bunge  za mashirika ya Umma-PAC- imeamua kuunda kamati ya wabunge tisa na kuipa mwezi mmoja kufanya uhakiki ripoti ya utekelezaji pamoja na mkataba uliongiwa kati ya Jeshi la Polisi na Kampuni ya Lugumi Enterprise kutokana na kutoridhika na ripoti hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kikao cha kamati hiyo, Kaimu Mwenyekiti wa PAC Mh.Aeshy Hilary amesema uamuzi wa kuundwa kamati hiyo umekuja kufuatia kutorishwa ripoti hiyo pamoja na kuwepo kwa changamoto katika taarifa ya  utekelezaji wa mradi huo iliyowasilishwa na Jeshi la Polisi.


Aidha akizungumza majukumu ya kamati hiyo itakayoongozwa na Mwenyekiti wake Mh.Josephat Asunga,mh.hilary amesema hiyo itaenda katika kila kituo ambacho Jeshi la Polisi linasema limefunga mitambo ya kuchukua alama za vidole na kufanya mahojiano na watu watakaoona wanaweza kupata taarifa za uhakika.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top