Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

UGONJWA WA KIPINDUPINDU WASAMBAA KWA NJIA YA SAMAKI ZAIDI BOFYA HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Watu tisa wamelazwa katika zahanati ya Mpekenyela wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi baada ya kula samaki wanaosadikiwa kuwa na vimelea vya ugonjwa wa Kipindupindu na kuwasababishia kuhara na kutapika na  kupoteza nguvu.

Kufuatia tukio hilo wafanyabiashara wawili wa Samaki katika kata ya Mpekenyela na Namungo wilaya ya Ruangwa Somoe Kishoka na Fatuma Saidi wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kuuza samaki wenye vimelea vya Kipindupindu.


Akizungumzia tukio hilo mganga mfawidhi wa zahanati ya Mpekenyela Mikidad Mbule  anathibitisha kupokea wagonjwa hao,huku ndugu wa mgonjwa aliyelazwa  kutokana  na maambukizi anaelezea hali hiyo ilivyomkuta.


Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top