Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WAHAMIAJI 15 HARAMU HAPA NCHINI WAKAMATWA, BOFYA HAPA KUWAJUA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Wahamiaji haramu 15 wakamatwa wakiwa wamehifadhiwa katika nyumba Singida.

Wizara ya  mambo ya ndani ya nchi idara ya uhamiaji mkoa wa Singida imewakamata wahamiaji haramu kumi na tano waliokuwa wakitoka nchini Ephiopia na kuelekea Afrika Kusini na kufanya jumla ya wahamiaji thelasini kukamatwa mkoani Singida kwa kipindi cha kuanzia mwezi desemba mwaka Jana hadi Januari Mwaka huu.

Akieleza afisa uhamiaji mkoa wa Singida DCI Faith Ihano amesema wahamiaji hao haramu wamekamatwa na askari wa uhamiaji wakiwa katika  doria  wamekutwa wamehifadhiwa katika nyumba moja eneo la unyakindi manispaa ya Singida wakisubiri kusafirishwa kwenda Afrika Kusini.

Katika hatua nyingine DIC Ihano amesema wahamiaji hao haramu kwa kiasi kikubwa wamekuwa wakisaidiwa na  baadhi ya watanzania wana ofanya biashara haramu ya kuwasaidia kupita nchini kwa njia ambazo siyo za halali na atakaye bainika hatua kali za kisheria zita chukuliwa dhidi yake ikiwa pamoja na kufikishwa mahakamani.  

Wakihojiwa na Mutalemwa Blog wahamiaji hao haramu ambao wote hawajui kuongea kiswahili wala kingereza isipo kuwa mmoja wao Bwana.Mohamed Ndermon anaye ongea kingereza kwa shida ,wamesema walikuwa wkienda Afrika Kusini wakitokea nchini Kenya kwa kutumia usafiri wa gari dogo kwenda kutafuta maisha. 

Kuhusiana natukio hilo idara ya uhamiajia mkoni Singida ina mshikilia mmiliki wa nyumba abayo wahamiaji hao haramu walikuwa wamehifdhiwa kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top