Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

UWENDA UKUISIKIA HABARI HII YA NDEGE KUTOBOKA SHIMO

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Ndege ya kubeba abiria imetua kwa dharura katika uwanja wa ndege mjini Mogadishu, Somalia ikiwa na shimo kubwa kwenye kiunzi chake.

Shimo hilo kwenye ndege hiyo lilitoboka muda mfupi baada ya ndege hiyo kupaa kutoka Mogadishu, ikiwa futi 10,000 (3,048m) juu angani, jamaa wa mmoja wa abiria ameambia BBC.

Haijabainika ni nini kilichotoboa shimbo hilo. Maafisa wanasema abiria wawili waliumia.

Ndege hiyo ya shirika la ndege la Daallo, iliyokuwa ikielekea Djibouti, ilikuwa imebeba watu karibu 60, afisa wa polisi ameambia shirika la habari la Bloomberg.
Baadhi ya ripoti zinasema ndege hiyo ilishika moto muda mfupi baada ya kupaa.

Darren Howe, ambaye mwenzake alikuwa ameabiri ndege hiyo, alipiga picha inayoonyesha shimo hilo muda mfupi baada ya ndege hiyo kutua.

"Hakukutokea mlipuko. Ni kiunzi cha ndege kilichopata hitilafu ndege ikiwa futi 10,000 angani,” ameambia BBC.
Ndege za shirika la Daallo husafiri mara kwa mara kati ya Dubai, Somalia na Djibouti.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top