Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MHIFADHI WA HIFADHI YA TAIFA NGORONGORO AKAMATWA, KISA BOFYA HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Mhifadhi wa Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro, Iddi Mashaka, amekamatwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuhusika na tukio la utunguaji wa helikopta namba 88HF na kusababisha kifo cha rubani wake, Rogers Gower, raia wa Uingereza.

Imeelezwa kuwa Mashaka, ambaye pia ni ofisa intelijensia wa hifadhi hiyo, anadaiwa kuwa kinara mkubwa wa ujangili katika hifadhi mbalimbali zilizoko Kanda ya Ziwa kwa kutoa ushirikiano kwa majangili pamoja na kuwaazimisha silaha za kufanyia uhalifu huo. 

Hii ni aibu sana, wale tunaowaamini ndio wanaotuangusha. Nashauri sheria za hifadhi za taifa zifanyiwe masahihisho ili watu kama hawa wanyongwe na kufilisiwa.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top