Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA BANDARINI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

HABARIZAHIVIPUNDE‬:Waziri mkuu wa Tanzania Mh.Kassim Majaliwa afanya ziara ya kushtukiza katika bandari ya DSM na kuagiza waliohusika na upotevu wa makontena 349 kukamatwa mara moja.

Kikao hicho kimeuzuliwa na mkuu wa jeshi la polisi nchini bwana Erenest Mangi, katibu mkuu wa ofisi ya waziri mkuu Dk.Faurence Turuka, katibu mkuu wa wizara ya uchukuzi dk.Shaabani Mwinjaka, kamanda Suleiman Kova, Mkurugenzi wa mamlaka ya bandari TPA bwana Awadhi Masawe, pamoja na viongozi mbalimbali kutoka TRA na TPA.

Waziri mkuu amewataja viongozi aliowasimamisha kazi ni pamoja na Kamishna wa forodha bwana Tiagi Masamaki, mkuu wa kituo kwa wateja bwana Abibu Mkunenzia, mkuu wa kitengo cha tehama bwana Haruni Mhande, bwana Hamis Ally Omary, Pamoja na mkuu wa kitengo cha bandari kavu ICD incharge bwana Eliach Mrema. 

Mbali ya kuwasimamisha kazi viongozi hao, pia ameagiza viongozi wengine watatu waamishiwe mikoani. Viongozi hao ni pamoja na Bwana Anangisie Mtafya, Msajigwa Mwandengere, pamoja na Robert Nyoni.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top