Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

KWA WALE WANAOPENDA KUNYWA MAJI BARIDI, BOFYA HAPA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Wengi wetu tunapenda sana kunywa maji ya baridi hasa katika joto kali na maji haya ya baridi kwa wakazi wa jiji kama la Dar es Salaam ndio huona yanawafaa zaidi kutokana na joto linalopatikana kwenye jiji hilo.

Ni ukweli usiopingika kuwa unywaji maji ya baridi huleta faraja zaidi kwa mhusika, hivyo si jambo la kushangaza mtu kuhitaji maji ya namna hiyo kila mara baada ya mlo.

Licha ya kwamba maji ya baridi ni mazuri zaidi, lakini nayo yana madhara yake kiafya, moja ya madhara ya maji ya baridi ni pamoja na kudhorotoshe mfumo wa umeng'enyaji chakula tumboni.

Kwa mujibu wa wataalam wa masuala ya lishe wanasema kwamba mtu anapokunywa maji ya baridi mara baada ya kula chakula, maji hayo huchangia kuganda kwa mafuta yaliyomo kwenye chakula.

Kutokana na kitendo hicho basi hupelekea  usagaji wa chakula kwenda pole pole sana na hivyo huweza kumuingiza mhusika kwenye matatizo ya ukosefu wa choo 'constipation'.

Hata hivyo, imeonekana kisayansi kuwa kunywa maji ya baridi baada ya chakula ni hatari pia kwa afya ya moyo tumbo na mwili mzima kwa ujumla. Hivyo kama wewe ni mzoefu wa kutumia maji ya baridi ni vyema ukaanza kuepukana nayo taratibu kumbuka kwamba afya ya mwili wako hujengwa na unachokula na kunywa leo.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top