Kwa mujibu wa matokeo yaliyokusanywa nchi nzima na kutangazwa na tume ya taifa ya uchaguzi nchini Tanzania kwa nafasi ya urais kwa mwaka huu wa 2015.
Matokeo ni kama yafuatavyo hapo chini
1. ACT- kura 98,763 sawa na 0.65%
2. ADC- kura 66,049 sawa na 0.43%
3. CCM- kura 8,882,935 sawa na 58.46
4. CHADEMA- kura 6,072,848 sawa na 39.97%
5. CHAUMA- kura 49,256 sawa na 0.32%
6. NRA- kura 8,028 sawa na 0.05%
7. TLP- kura 8,198 sawa na 0.05%
8. UPDP-kura 7,785 sawa na 0.05%
Idadi ya watanzania walioandikishwa kwenye daftari la kudumu la wapigakura ni millions 23,161,440 na waliopiga kura ni 15,589,639 sawa na asilimia 67.31%
Kura halali ni 15,193,862 sawa na 97.46% kura zilizo kataliwa ni 402,248 sawa na 2.58%. Mshindi wa nafasi ya urais kwa mwaka huu ni mhe.John Joseph Pombe Magufuli.