Mgombea urais wa chama cha ACT Wazalendo Anna Mghwira aliyemaliza wa
tatu ni miongoni mwa waliofika kumpongeza
Bw.Magufuli ambaye ni rais
mteule wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania anaye subiri kuapishwa na
kumkabidhi ilani ya chama cha ACT yenye ajenda lukuki kubwa ikiwa ni
kuzingatia haki na usawa kwa kila mmoja wakati wa hafla hiyo kwenye
ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam mapema Leo.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies