Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

IFAHAMU DAWA YA KIMONDO NA DK.MANDAI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Maambukizi katika njia ya mkojo au kama unavyojulikana kwa wengi UTI ni miongoni mwa tatizo ambalo huathiri mfumo wa mkojo ikiwa ni pamoja na ureter ambayo ni kama bomba linalosafirisha mkojo kutoka kwenye figo.

Ugonjwa huu unaathiri zaidi kibofu cha mkojo na urethra lakini unaweza pia kuathiri figo, ugonjwa huu husababishwa na bakteria anayeitwa Escherichia coli (E. coli)

Kimsingi unapofika Mandai Herbalist Clinic unaweza kupata dawa nzuri iitwayo Kimondo, hii ni miongoni kati ya dawa ambazo uwezo wake ni mkubwa wa kumaliza shida ya U.T.I hata kama ni ile sugi haijalishi imekusumbua kwa muda gani, lakini unapotumia hii dawa tu basi lazima uagane na tatizo la U.T.I

Dawa hii ya kimondo imechanganywa vizuri kitaalam kwa mimea mbalimbali ambayo nayo inauwezo wa kumaliza uvimbe ndani ya mfuko wa uzazi yaani 'fibroid'

Halikadhalika dawa hii husaidia sana kuongeza kinga za mwili, kusafisha tumbo na kutibu minyoo pia.

Inawezekana unahitaji kuipata dawa hii basi wasiliana nasi kwa simu namba 0716 300 200, 0769 400 800, 0784 300 300. Barua pepe, dkmandaitz@gmail. Au fika ofisini kwetu Ukonga, Mongolandege jijini Dar es Salaam. Karibu.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top