Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

SASA THIERRY HENRY AJIBU SWALI LA WANA ARSENAL

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Klabu ya Arsenal ya Uingereza ambayo ipo katika mbio za kumnasa mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa anaekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Karim Benzema, dalili za Arsenal kuongeza nguvu ya kumtaka mshambuliaji huyo zinazidishwa na kauli ya mfungaji bora wa muda wote wa klabu hiyo Thierry Henry.
169219
Thierry Henry
Arsenal imefanya usajili mkubwa mmoja tu katika majira haya ya usajili kwa kumsajili aliyekuwa kipa wa Chelsea Peter Cech lakini Henry anaamini kama itamsajili Benzema inaweza kurudi katika mbio za kutwaa taji la Ligi Kuu Uingereza toka ishinde taji hilo msimu wa 2003/2004.
thierry-henry-20051118-85377
Thierry Henry
“Nafikiri wanaweza fanya vizuri mwaka huu kama hawatakuwa na majeruhi, Giroud pekee kama mshambuliaji huwezi shinda taji, unahitaji aina nyingine ya mshambuliaji  nafikiri Giroud anafanya vizuri kiukweli ameshinda magoli 14 katika mechi 18 hicho ni kitu kizuri sana”>>>Henry
“Lakini wakati mwingine unahitaji aina tofauti ya mshambuliaji na nafikiri huenda watampata Benzema bado wapo katika nafasi ya kuwania taji la Ligi Kuu na Ligi ya mabingwa “>>>Henry
Karim-Benzema-Net-Worth
Karim Benzema
Licha ya kukiri Arsenal ipo vizuri na inahitaji kujiimarisha kwa kumsajili Benzema lakini amekubali wanaweza kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu kama watafanya hivyo ila la Ligi ya Mabingwa ni ngumu kushinda taji hilo.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top