Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

NEC YATAHADHALISHWA JUU YA UCHAGUZI MKUU 2015

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Tume ya taifa ya uchaguzi NEC imetahadhalishwa kuwa makini katika zoezi la kuhesabu kura pamoja na kutangaza matokeo kwenye uchaguzi ujao mwezi October 2015 ili kuepusha uvunjifu wa amani kwa Tanzania.
Yamesemwa hayo na viongozi wa makanisa ya katoliki akiwemo Askofu Anthony Banzi, ambaye ni askofu wa Katoliki jimbo la Tanga pamoja na Askofu Thomas Tarimo ambaye ni askofu Kanisa la Pentekoste jijini Tanga.

Ambapo wamesema NEC wawe huru katika kuhesabu pamoja na kutangaza matokeo ya uchagu bila uchakachuaji wowote.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top