Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

HARRISON MWAKYEMBE ALIA NA EDWARD LOWASSA JANA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Mhe.Harrison Mwakyembe aongelea kuhusu sakata la Richmond kwenye mkutano wa kampeni za ccm mkoani Mbeya. 


Kiongozi huyu alikuwa Mwenyeki wa kamati teule ya Bunge ambayo ndio iliyo muondoa madarakani waziri mkuu wa zamani mhe.Edward Lowassa ambaye ni mgombea urais kupitia UKAWA kwenye chama cha demokrasia na maendeleo Chadema.

Mwakyembe alisema yote yaliyosemwa juu ya Lowassa kuhusu Richmond niyakweli wala si ya uhongo hata kidogo, huku Mwigulu Rameki Nchemba akiwasisitiza watanzania kuchagua viongozi waadirifu na wenye kujari matakwa ya wananchi pamoja na kusimamia mali za nchi.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top