Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WATU 2 WAPOTEZA MAISHA NA WENGINE 9 KUJERUHIWA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
cinema5
Saa chache ziliyopita kumetokea tukio la mauaji Marekani ambako mwanaume mmoja aliamua kupiga risasi ovyo akiwa kwenye nyumba ya Sinema iliyopo Lafayette Louisiana na kusababisha vifo vya watu 2 na majeruhi ya watu 9 kabla ya kujiua yeye mwenyewe.
Tukio hilo limewashtua na kuwatisha watu wengi ambao wanadai hawaoni kama kulikuwa na sababu ya mtu huyo kufanya hicho alichokifanya.
cinema
Mwanaume huyo ambaye jina lake halijafahamika alikuwa na umri wa miaka 58 na kutokana na ushuhuda wa wafanyakazi wa eneo hilo la sinema alikuwa ni mhudhuriaji mzuri wa sehemu hiyo mara kwa mara.
Polisi wanaendelea na upelelezi juu ya hilo tukio ikiwemo kumtambua huyo jamaa pamoja na ndugu ama familia yake.
cinema4
Polisi wanasema zaidi ya watu 100 walikuwemo ndani ya sehemu hiyo ya sinema kwa ajili ya kuangalia movie mpya ya Comedy “Trainwreck” kabla ya tukio la mashambulizi ya risasi kuanza.
Tukio hilo lilitokea kwenye mida ya saa 8:30 usiku jijini Lafayette Louisiana Marekani.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top