Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MSICHANA HUYU AIBUKA NA MAPYA JUU YA DIAMOND PLATNUMZ

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Msichana anayejiita Baby ake huku instagram anazidi rusha hisia zake kwa Diamond Platnumz. Sasa leo amekuja na mpya na kusema haya hapa chini kuhusu Zari ambae ndio mchumba wa Diamond Kwa sasa.

Nimeaminii kwelii uyu mwanamkee ni mzeee ajiamini, etii kaona nimetangaza nia ya u Mrs Diamond kani block, we demu ujiamini live ni Rambo nini?, sasa ata ukiniblock bwanako ntampata tuu, namimi ntapikiwa na kubebewa mapochi, khaa kizuri kula na wenzio we kwanza sio mtanzania iweje ujimilikishe?

Ebu jiangalie unifikii ata nusuu uwoo weupe tuu, kwanza mademu weupe sio ata watamu au waringia miguu? kwa mange alisema ni ugonjwa au iyo mimbaa, sasa kama umembebea D mimba mie ntampa nyumaa tuone atamchagua nani, unifikii wewe, mie black beauty mi hasilia siweki makope na situmii 360 siweki miywele, bandia kama wewe, kwanza diamond upenda vitu asili, mie mwepesi kitanda sio kama wewe gogoo.

Sijali mabaya mnayoyaongea kwangu Hata kama yatakuwa machungu na mazito kiasi gani, kumpenda mtu sio dhambi na wala sio kosa la jinai ila tu najua nachukiwa sababu nampenda mtu ambaye anapendwa na wengi sababu na jua miongoni kwa watu wanaonichukia na kunitusi kwa sababu ya D ndo hao hao ambao nafsi zao zinawauma na Kukereka pale ninapoeleza hisia zangu.

Ila mimi hayo yote hayanitishi sababu haja ya moyo wangu naijua, na nyie mnaosema mimi natafuta followers kazaneni kusema lakini hakuna niliyemfata nikamwambia njoo kwangu ni kwa hiari zenu na bado mkiamua mnayo nafasi ya kuniufollow ili nisizidi kuwakera.

Sitaacha kumpenda D nampenda nampenda nampenda Hata kama sitakuwa nae ila kitendo tu cha yeye kujua kama nampenda basi kwangu ni faraja na inatosha.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top