Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MSHAMBULIAJI RODNEY MARSH AMPONDA PAUL POGBA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
STRAIKA wa zamani wa Manchester City, Rodney Marsh amesema Paul Pogba hata iweje hawezi kufikia makali na huduma muhimu waliyokuwa wakitoa viungo Frank Lampard na Steven Gerrard ndani ya uwanja.

Marsh hataki kuamini Pogba anaweza kufanya vitu vya maana katika soka na kucheza soka la kiwango cha juu kama ilivyokuwa kwa Lampard na Gerrard.
Hakuna ubishi kwamba Pogba anasifika kuwa mmoja wa viungo bora vijana kwa sasa na kiungo fundi Andrea Pirlo alimsifia Mfaransa huyo na kusema ni bora zaidi Ulaya kwa sasa.
Hata hivyo, Marsh haungi mkono maneno ya Pirlo kwa kumtambua kwamba ndiye kiungo bora Ulaya kwa sasa wakati haonekani hata chembe ya kufikia viwango vya Gerrard au Lampard pekee.

“Hilo haliwezi kutokea. Kwanza Paul Pogba hafungi mabao ya kutosha.

“Hawezi kuwakaribia kina Frank Lampard hata chembe. Pirlo anasema atakuwa bora uwanjani, itakuwaje kama hata kufikiria tu ubora wa Steven Gerrard au Frank Lampard hawezi,” alisema Marsh kwa msisitizo mkubwa.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top