Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

KIJANA MMOJA AKATWA MKONO KISA ASITUMIE MITANDAO YA KIJAMII

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Matumizi ya mitandao ya kijamii kama Facebook, Twitter, Instagram ni kitu ambacho kimeshika chati sana kwa sasa duniani, vijana wameonekana kuwa waathirika wakubwa wa matumizi ya mitandao hii.

Kijana Little Wang ambaye umri wake ni miaka 19 huko China aliona njia pekee ya kukomesha tabia yake ya kupenda kutumia laptop na simu kuingia mtandaoni ni kujikata mkono wake, alipoona hali haimwendei sawa aliita taxi impeleke Hospitali ambapo hakuna aliyejua kinachoendelea nyumbani kwao, aliacha ujumbe kwamba ametoka kwenda Hospitali na angerudi muda mfupi baadaye.

Madaktari walimfanyia operation kuunga mkono huo huku wakiwa na matumaini kwamba baadae utaweza kufanya kazi kama ilivyokuwa mara ya kwanza kabla hajaukata. 
Mama yake Little alisononeshwa na kitendo hiki na kusema hakutegemea mtoto wake angeweza kujifanyia ukatili wa aina hii.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top