Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

KENYA YAZINDUA ATM ZA MAJI SOMA ZAIDI KUPITIA HAPA LEO

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Wananchi wa Kenya sasa wataweza kununua maji safi na salama kwa kutumia kadi maalum kupitia mitambo kama ya ATM.

Kwa muda mrefu wananchi wa Kenya walikuwa wakitegemea maji kutoka kwa wachotaji binafsi ambayo uhakika wake wa usafi na usalama haukuwa na hakika.

Wananchi wanaweza kununua lita ishirini kwa senti hamsini. Mitambo minne imewekwa katika maeneo tofauti jijini Nairobi.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top