Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

HII NI HATUA YA KWANZA YA UFYATUAJI WA TOFARI ZA UJENZI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Siku zote katika swala la ujenzi wa nyumba, unatakiwa kuwa vitu kama ifuatavyo ili kuweza kukamilisha malengo yako unayokuwa umeya-plan tokea hapo mwanzoni kabisa.

2. Eneo ambalo utaweza kujenga nyumba yako.

1. pesa ambayo itakuwezesha kununua eneo au kiwanja kwa lugha nyingine.

3. Baada ya kununua eneo lako utalazimika kuliandaa eneo hilo kabla ya ujenzi.

4. Ukisha maliza kuandaa eneo lako unakuwa ukidaiwa mchanga wa kujengea.

5. Cement sasa ndio mada inayokuwa inafuata katika hatua hii ya ujenzi wa nyumba.
6. Wakati wa kuanza ujenzi maji ni moja zana zinazohitajika sana kiukweli.

Tazama video mafundi wakifyatua tofari za ujenzi wa nyumba ya kisasa.


7. Baada ya kumaliza kununua mchanga, hapa waga kuna njia mbili ambazo waweza kufuata moja wapo ambapo (a) waweza kukodi mashine na mafundi wakakufyatulia tofari kiasi unacho kitaka au (b) waweza kununua tofari kiasi unachokitaka kutoka kwa wauzaji wa tofari za kisasa.


Tofari za kujengea nyumba zikiwa zikotayari kwa ajiri ya ujenzi sasa.

8. Kama kweli unataka kujenga nyumba ambayo ni imara na yenye kudumu kwa mda mrefu, basi kokoto nilazima zitumike katika ujenzi wa nyumba yako.

 9. Katika ujenzi wa nyumba ambayo ni imara nayenye kudumu kwa mda mrefu zaidi, nondo lazima zitumike kwa kiwango kikubwa zaidi. Kwa leo nitaishia hapa katika hatua ya kwanza ya ufyatuaji wa tofari za ujenzi, endelea kutembelea Mutalemwa Blog,Kila wiki nitakuwa nikikuletea habari  juu ya ujenzi wa nyumba.


  


Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo hapo chini.

    


In order you follow me just click one of the Icon Button above.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top