Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

HABARI NJEMA KWA WAZAZI NA WALIMU WA KINYEREZI TABATA SECONDARY SCHOOL

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Mkuu wa taasisi ya Vodacom Foundation, Renatus Rwehikiza (kushoto) akishirikiana na wasimamizi wa mradi wa kompyuta mashuleni Meelis Kuuskler (katikati) pamoja na Julius Giabe kuunganisha kifaa cha kujifunzia masomo  kupitia kompyuta  katika shule ya sekondari Kinyerezi  ya Tabata jijini Dar es Salaam.  Mradi huo unaendeshwa na Learning In Sync  chini ya Vodacom Foundation.
Msimamizi wa mradi wa kompyuta mashuleni, Meelis Kuuskler (katikati)akiwafafanulia jambo Mkuu wa taasisi ya Vodacom Foundation, Renatus Rwehikiza (kushoto) na Julius Giabe kuhusu kifaa cha kujifunzia masomo  kupitia kompyuta  kilichokuwa kinaunganishwa katika shule ya sekondari Kinyerezi  ya Tabata jijini Dar es Salaam. Mradi huo unaendeshwa na Learning In Sync chini ya Vodacom Foundation.
Msimamizi wa mradi wa kompyuta mashuleni, Meelis Kuuskler akiunganisha kifaa maalum cha kuchajia kompyuta katika shule ya sekondari Kinyerezi  ya Tabata jijini Dar es Salaam.  Mradi huo unaendeshwa na Learning In Sync chini ya Vodacom Foundation utakabidhiwa hivi punde.

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top