Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

ZANTEL 3G MODEM ZINAPATIKANA HAPA JIPATIE MODEM YAKO

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Ni modem za kisasa kabisa zenye kasi na uwezo mkubwa sana katika ufanyajikazi wake wa kusoma data kwa kasi ya ajabu kabisa. 


Modem hizi ziko kwenye mfumo wa 3G Network supporter ambao inakuwezesha wewe mtumiaji kuweza kuperuzi mambo mengi zaidi kwa kutumia mda mfupi zaidi.


Bei ya kila Modem hii ya Zantel ni Tsh 28,000/= tu.


Offer kwa atakaye nunua modem hii ya Zantel.

Ndugu mteja wetu endapo ukinunua modem hii ya zantel kwangu utapata 10GB za kuperuzi kwenye internet zikiwa zimegawanywa kama ifuatavyo hapo chini.

                                1. Utapata 8GB kwa mwezi wa Kwanza
                                2. Utapata 1GB kwa mwezi wa Pili
                                3. Utapata 1GB kwa mwezi wa Tatu

Pia kwa yule mwenye kuitaji line pekee, pia anakaribishwa sana, maana line tupu bila modem pia zinauzwa hapa kwa bei ya Tsh 1,000/=tu.


Napatikana Dar es salaam,
Kwa mawasiliano zaidi nipigie kupitia 
0659 91 9292 au 0773 41 9292


NB: KUMBUKA KUJA NA COPY YA KITAMBULISHO CHAKO TAFADHALI.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top