Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

SHULE YA MSINGI MCHANGANYIKO YAOMBA KUSAIDIWA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Wanafunzi walemavu Pongwe wanakabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo ukosefu wa vifaa vya kujifunzia, usafiri wa kuwawezesha kutoka shuleni kwao na kwenda sehemu mbali mbali za kujifunzia.

Pamoja na hayo wanafunzi hao wamesema kuwa ukosefu wa huduma za kijamii kama hospitali kutokuwepo karibu na maeneo ya shule yao nimoja ya jambo linalowatatiza sana, ambapo mwanafunzi anapoumwa nyakati za usiku walimu hulazimika kukodi pikipik maarufu kama bodaboda kwa ajiri ya kumpeleka mwanafunzi hospitalini.

Kwa sasa wanafunzi hawa wanalazimika kuishi kwenye bweni moja,kutokana na ukosefu wa mabweni ya kutosha, ambapo wanafunzi hawa wanaendelea kueleza kwamba umbali kati ya hospital ya rufaa ya mkoa wa Tanga ya Mombo kuna umbali wa 12km, jambo ambalo linawapa hofu kubwa sana watoto wenyewe,wazazi pamoja na walezi wao. 


Shule hii nishule yenye mchanganyiko wa watoto wenye uremavu wa aina mbali mbali, kama Albino, kutoona pamoja na kutosikia. Jamani kama wewe ndugu msomaji wa habari hii umeguswa na jambo hili ni wakati wako kuweza kutoa mchango wako ili kuiwezesha shule hii ya watoto wenye uremavu mbalimbali kuweza kujikwamua na matatizo hayayanayo ikumba kwa sasa.
  


Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo.

 FACEBOOK >>> TWITTER  >>> MATUKIO >>  MUSIC MPYA
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top