Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MAMA MMOJA AGONGWA NA GARI KISHA KUPOTEZA MAISHA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
 Huu hapo juu ni mwili wa marehemu ambaye amegongwa na gari kubwa aina ya lori lenye namba za usajiri wa T 277 CLY na kupoteza maisha yake katika eneo la Mbezi Tank bovu leo.

 Hili hapo juu ndilo gari ambalo limemgonga mwana mama tajwa hapo juu.

Mwili wa marehemu ukiwa umekusanywa katika sehemu moja, ambapo mwana mama huyu alikatika mguu wake mzima wakati akiburuzwa na gari hilo kwenye rami.


Kwa hisani ya Scofield.
=======================================================

Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo.

 FACEBOOK >>> TWITTER  >>> MATUKIO >>  MUSIC MPYA
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top