Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

JAMANI DADA ZETU NA MAMA ZETU, IVI MNATUPELEKA WAPI?

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
 Tabia hii mpaka sasa imeanza kuonekana kama niyakwaida hapa nchini kwetu Tanzania, ambapo kila kukicha tunakutana na uozo wa akina dada pamoja na akina mama zetu, je ivi mnafikili kufanya vile mnavyofanya ni sahihi kwa mujibu wa mila na desturi za waAfrica? je mnaifunza nini jamii inayo wazunguka? 


Kama style yenu ndio hii, basi kwa upande wangu naomba kuwaambia kitu kimoja kwamba, msijidanganye kupigana mkitaka haki sawa baina yenu pamoja na sisi.


Ushauri wangu kwenu akina dada pamoja na akina mama, nawaomba muache tabia hii ya kujidhalilisha maana mmekuwa chanzo cha uchafuzi wa matumizi ya mitandao ya kijamii, mpaka sehemu zingine ambazo ziko nje ya mitandao hiyo.

Jiunge na mi kwa kubonyeza kwenye link zifuatazo chini ili kupata habari mpya zaidi. 
          FACEBOOK >>> TWITTER  >>> MATUKIO KWA NJIA YA SAUTI
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top