Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MKALI WA SUPER NYOTA WA SERENGETI FIESTA MOSHI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Mshiriki mwingine katika shindano hilo, Jacqueline Frank naye akijaribu bahati yake katika kinyang'anyiro cha kumtafuta   Super Nyota Diva's wa Serengeti fiesta katika Ukumbi wa Aventure mjini Moshi leo.

Siamerary Tarimno 'Ice baby'  ambaye aliibuka kidedea katika kinyang'anyiro cha kumtafuta  Super Nyota Diva's wa Serengeti fiesta, akiimba katika shindano hilo lililofanyika kwenye Ukumbi wa Aventure Mjini Moshi leo. Hizo ni shamrashamra kuelekea tamasha la Serengeti fiesta linalotarajiwa kufanyika kesho kwenye Uwanja wa Majengo mjini humo.
Mshindi wa shindano la  Super Nyota Diva's la Serengeti fiesta, Siamary Tarimo akipewa mkono wa pongezi na Dk  Fetty.

Dj Fetty (kulia) na Kenneth Rhoden wakishauriana wakati wa shindano hilo. Mashindano hayo pamoja na lingine la Serengeti fiesta soccer  bonanza hufanyika kila mkoa kabla kufanyika kwa tamasha la Serengeti fiesta ambalo kwa mwaka huu linafanyika katika mikoa 18
Mmoja wa majaji, Dk Fetty (kushoto) akizungumza na baadhi ya washiriki waliojitokesa katika mtifuanon huo.


Jiunge na mi kwa kubonyeza kwenye link zifuatazo chini ili kupata habari mpya zaidi. 
          FACEBOOK >>> TWITTER  >>> MATUKIO KWA NJIA YA SAUTI
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top