Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

TAHADHALI KWA WAKAZI WOTE WA MWAMBAO WA PWANI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

 Taarifa kwa umma: Upepo mkali unaoambatana na mawimbi makubwa vinatarajiwa  katika maeneo yote ya ukanda wa Pwani.


Taarifa Namba:   201408-02

Muda wa Kutolewa:       Saa 6:00 Mchana

       Saa za Afrika Mashariki

Daraja la Taarifa   Tahadhali

Kuanzia: Tarehe  01 September, 2014

Mpaka: Tarehe    02 September, 2014



Aina ya Tukio linalotarajiwa: 
Hali ya Upepo mkali unaozidi Kilomita 40 kwa saa pamoja na mawimbi makubwa yanayozidi Mita 2.0 inayotarajiwa katika ukanda wote wa Pwani.



Kiwango cha uhakika:  Juu (70%)


Maeneo yatakayo athirika:  
Pwani ya mkoa wa Tanga, Dar es salaamu, Pwani, Lindi, Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.


Melezo:  
Hali hii inatokana na kuimarika kwa mgandamizo mkubwa wa hewa katika maeneo ya kusini mwa Afrika hivyo kusababisha upepo mkaliwa Kusi,mashariki mwa Pwani ya Tanzania.


Angalizo:  
      Wakazi wa maeneo yaliyotajwa wanashauriwa kuchukua tahadhari.


Maelezo ya Ziada:  
Mamlaka ya Hali ya hewa inaendelea kufuatiria hali hii na itatoa mrejeo pale itakapobidi.


                 Upatapo taarifa hizi mjulishe na mwenzio tafadhali.


Imetolewa na 
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania.

Jiunge na mi kwa kubonyeza kwenye link zifuatazo chini ili kupata habari mpya zaidi. 
          FACEBOOK >>> TWITTER  >>> MATUKIO KWA NJIA YA SAUTI
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top