Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

KINARA WA TUZO ZA KILI MWAKA 2014.

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Diamond Platnum ameendelea kuthiilisha kuwa yeye ni mkali na nimsanii namba moja kwa sasa nchini Tanzania.


Jana usiku msanii Diamond aliweza kuondoka na Tunzo Saba ambazo alikuwa ametajwa katika vipengele tofauti tofauti
Diamond alikuwa ameambatana na Mchumba wake Wema Sepetu wengine walio chukua tunzo zaidi ya Moja ni msanii Fid Q, Weusi, mzee Yusufu na wengineo.

Ifuatayo ni orodha nzima ya washindi wa tuzo hizo izo za Kili music awards.

Wimbo bora wa mwaka

Number One – Diamond


Mwimbaji bora wa kike – kizazi kipya

Lady Jaydee


Muimbaji Bora wa kiume – Kizazi Kipya

Diamond


Muimbaji bora wa kike taarabu

Isha Ramadhan


Muimbaji Bora wa kiume – Taarab

Mzee Yusuf


Muimbaji bora wa kiume – Bendi

Jose Mara


Muimbaji Bora wa Kike – bendi

Luiza Mbutu


Msanii Bora wa Hip Hop

Fid Q


Msanii Bora Chipukizi Anayechipukia

Young Killer


Rapa Bora wa Mwaka – Bendi

Furguson


Mtumbuizaji bora wa kike muziki

Isha Ramadhani


Mtumbuizaji bora wa kiume wa muziki

Diamond


Mtunzi Bora wa Mwaka – Hip Hop

Fid Q


Video Bora ya Mwaka

Number One – Diamond


Bendi ya Mwaka

Mashujaa Band


Kikundi cha Mwaka cha Taarab

Jahazi Modern Taarabu


Kikundi cha mwaka cha kizazi kipya

Weusi


Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka Taarabu ni producer Enrico.

Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka Kizazi kipya ni producer Man Walter

Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka kwa Bendi ni producer Amoroso

Mtunzi Bora wa Mwaka kwa Taarabu

Mzee Yusuf


Mtunzi Bora wa Mwaka wa Kizazi Kipya

Diamond


Mtunzi Bora wa Mwaka wa Bendi ni Christian Bella

Wimbo bora wa Kiswahili kwa Bendi

Ushamba Mzigo wa Mashujaa Band


Wimbo bora wa reggae

Niwe na Wewe wa Dabo


Wimbo bora wa Afrika Mashariki

Tubonge wa Jose Chameleon


Wimbo bora wa Afro Pop

Number One wa Diamond


Wimbo bora wa Taarabu

Wasiwasi Wako wa Mzee Yusufu


Wimbo bora wa Hip Hop

Nje ya Box wa Nick wa Pili ft Joh Makini & G-Nako


Wimbo Bora wa R&B

Closer wa Vanessa Mdee


Wimbo Bora wa Kushirikiana

Muziki Gani wa Nay wa Mitego ft Diamond


Wimbo bora wa ragga/dancehall

Nishai wa Chibwa ft Juru


Wimbo bora wa zouk /rhumba

Yahaya wa Lady Jaydee


Hall of FAME Award zimekwenda kwa Hassan Rehani Bichuka na Masoud Masoud.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top