Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WATU WAWILI WANUSULIKA KIFO TAZARA.

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Ikiwa ni nyakati za usiku. Kundi la watu wakiwa wamejikusanya kwenye makundi makubwaa mawili, huku wakilalamika, ndipo nilipo jisogeza karibunao ili kutaka kujua ni kitugani kinachoendelea katika eneo hilo.

 Hapa ni katika eneo la tazara kwenye roundabout, ndipo lilipotokea gumzo hili. Hapa ndipo watu wawili wamenusulika kupoteza maisha yao baada ya pikipiki iliyokuwa imepakia abilia mmoja kugongana na gari katikati ya barabara hapa tazara roundabout.


 Kwa bahati nzuri hakuna mtu aliyepoteza maisha zaidi ya wale waliokuwa wanatumia pikipiki kuchubuka na kuumia kiasi. Baada ya kupata msaada kutoka kwa raia wema wamekimbizwa hospital mara moja ili kupatiwa huduma zaidi.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top