Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

Umoja wa Watanzania Ethiopia wapata uongozi mpya.

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Mhe. Naimi Aziz, Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia akiwa na viongozi wapya wa Jumuiya ya Watanzania Ethiopia (UDUGU).


Wa pili kushoto ni Dr. Naftali Kilenga ambaye amechaguliwa kuwa Mwenyekiti, na wa kwanza kulia ni Dr. Florence Temu, ambaye amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti.

Wa kwanza kushoto ni Bw. E. Lubuva ambaye amechaguliwa tena kuendelea kuwa Katibu wa UDUGU. Mhe. Balozi Naimi Aziz akiwa na Mwenyekiti Mpya Dr. Naftali Kilenga kushoto, na kulia kwake ni Bibi Josephine Marialle Ulimwengu, ambaye alikuwa Kaimu na Makumu Mwenyekiti  katika uongozi uliopita.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top