Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

Superdool company nao watikiswa.

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Tank la mafuta lililotengenezwa na kampuni ya Superdool Trailer Manu Ltd, limevutwa na maji maeneo ya kigamboni nje kidogo ya jiji la dar.

Tank hilo lilikuwa na mafuta ya kampuni ya Mwanza Huduma, ila kutokana na ubora wa matengenezo ya matenki hayo, mafuta hayakuweza kumwagika kabisa hata kidogo.

Napenda niwapongeze sana kampuni ya Superdool kwa kutengeneza vifaa vyenye ubora wa hali ya juu kama hivi, pia natoa ushauri wangu kwa yale ma kampuni ambayo yanatengeneza vifaa ambavyo viko chini ya kiwango, nao wajitaidi kuakikisha nao wanakuwa kama Superdool company limited.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top