Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

KUSHAMILI KWA WIZI WA SIMU.

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Ni kawaida kupewa tahadhari kwamba bongo ukiacha simu yako ovyo kama kwenye kituo cha daladala, baa, kwenye daladala, hotelini, kwenye gari binafsi na sehemu nyingine yoyote inaweza kuibwa ndani ya dakika sifuri.

Unaweza kuhisi labda hii tabia iko bongo tu au kwenye nchi masikini peke yake kitu ambacho sio sahihi aisee manake huko Marekani takwimu za utafiti wa mwaka 2013 peke yake zinaonyesha ni simu zaidi ya milioni 3 zilizoibwa kwenye taifa hili lenye watu zaidi ya milioni mia tatu.

Hiyo milioni tatu ni karibu ya mara mbili ya mwaka 2012 ambapo zillibwa milioni 1.6 ambapo unaambiwa kutumika kwa namba za siri katika smartphones pia kumekuwa na ongezeko la asilimia 50 mwaka 2013 lakini bado watu wengi hawajataka kutumia neno la siri lenye kuzidi tarakimu nne au applications ambazo zinaweza kugundua simu zao zipo wapi baada ya kuibwa.

Smart phones zilizoibwa kati ya hizi zinafikia milioni 1.4 na hazikupatikana ambapo mwaka 2012 ziliibiwa milioni 1.2 kwa hiyo wizi umeongezeka.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top