Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

HOME PUB LODGES

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Karibu sana kwenye ukurasa wa matangazo, hapa ndipo maali pamatangazo ya aina zote. kwaiyo ata wewe unakaribishwa sana ili kutangaza nasi, karibu sana.  
                           kwa mwitaji tafadhali tupigie simu namba: 
0659 919 292
==================================================


TANGAZO LETU KWA SIKU YA LEO LINATOKA: 
Home Pub Lodges, ni bonge la lodges ambayo inapatikana katika eneo linalo fahamika kama VIKINDU MADAFU, Ni umbali wa mita 75 (75M) kutoka usawa wa barabara kuu ambayo inaelekea Mkuranga, Kimanzi chana, Lindi nk. 
Home Pub Lodges ni self contained rooms, na pia ipo kwenye eneo tulivu kabisa na lenye mazingira mazuri ya kisasa zaidi.
uwapo ndani ya Home Pub Lodges, jisikie huku kabisa kwasababu ulinzi wa mali zako upo wa kutosha kabisa. Home pub lodges iko umbali wa 12km kutoka chuo cha uwasibu ambacho ni maarufu kwa jina la (T.I.A).

Ndani ya eneo la home pub lodges, kuna nafasi ya kutosha kwa ajiri ya parking. kwaiyo ewe ndugu mteja wetu usiwaze sana juu ya swala la parking pamoja na usalama wa mali zako kwa ujumla, ulinzi ni wa uwakika kabisa ndugu mteja.

Ndugu mteja, Home pub lodges hakuna kabisa tabu ya swala la maji. kwetu maji yapo tena ya kutosha kwa mda wote ndani ya masaa 24.

 kwa ujumla mazingira ni masafi na pia yanavutia sana ndugu mteja. ebu karibu ututembelee Home Pub Lodges, ujionee mwenyewe jinsi kulivyo kuzuri.

Ndugu mteja, pindi uwapo ndani ya home pub lodge, utapokelewa na upepo mzuuri, ambao utakufanya ujisikie kama uko ufukweni mwa bahari.

Pia utaweza kulala bila ya kujibana bana, kwani vitanda vyetu vina ukubwa wa kutosha kabisa.

Hata ivyo Home Pub Lodges, ina madirisha yenye ukubwa wa kutosha, jambo ambalo litakufanya wewe ndugu mteja wetu kuendelea kujisikia vyema zaidi.

Ndugu mteja wetu, HOME PUB LODGES. ina wakalibisha sana wafanyakazi wa mikataba, watu wanaofanya makongamano na wale wanao subilia mizigo yao kutoka bandarini.

Pia tunatoa huduma za vinywaji vya aina zote, pamoja na huduma ya chakula kwa order maalum tu.

Kwa mawasiliano zaidi, tafadhali wasiliana nasi kwa namba za simu zifuatazo:
 WOTE MNAKARIBISHWA SANA.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top