Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

Helkopta ya wana jeshi yapata ajali.

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Ni jambo la kusikitisha sana, ambapo utafiti wa kujua maeneo yaliyo alibiwa na mvua zinazo endelea kunyesha hapa nchini.

Hii ni moja ya ndege yenye namba 505 ambayo imejikuta ikianguka kutokana na kupatwa na hitilafu huko ikiwa angani. Ndani ilikuwa na watu wafuatao:

MAKAMU WA RAIS WA TZ, MKUU WA MKOA WA DAR, KAMANDA KOVA NA MWANDISHI WA HABARI WA TBC.

Jambo la kumshukuru Mungu hakuna aliyepoteza maisha katika ajali hiyo, ila baadhi yao wamepelekwa hospital kwa ajili ya kutibiwa pale walipo pata michubuko ya hapa na pale.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top