Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

AZAM FC KUSAJILI NYOTA SABA WAPYA.

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Dar es Salaam. Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC, wameingiza nyota wake saba katika kikosi cha timu ya Taifa Stars kitakachoivaa Burundi Aprili 26.

Katika kikosi hicho, ambacho kitaivaa timu ya taifa ya Burundi ‘Intamba Mu Rugamba’ Aprili 26, chini ya kocha msaidizi, Salum Mayanga, amewatema kipa Ivo Mapunda na beki Nadir Haroub ‘Cannavaro’.

Mayanga amewaita makipa wote wa Azam FC, Aishi Manula na Mwadini Ally pamoja na kipa wa Yanga, Deogratius Munishi ‘Dida’, wakati mabeki aliowachukua ni Abdi Banda (Coastal Union), Aidan Michael (Ruvu Shooting), Aggrey Morris (Azam), Erasto Nyoni (Azam), Hassan Mwasapili (Mbeya City), Kelvin Yondani (Yanga) na Said Moradi (Azam).

Viungo ni Amri Kiemba (Simba), Frank Domayo (Yanga), Himid Mao (Azam) na Jonas Mkude (Simba), huku washambuliaji ni Athanas Mdamu (Alliance), Haruna Chanongo (Simba), Juma Liuzio (Mtibwa Sugar), Khamis Mcha (Azam), Mbwana Samata (TP Mazembe, DRC), Mrisho Ngassa (Yanga), Mwinyi Kazimoto (Markhiya, Qatar), Ramadhan Singano (Simba), Simon Msuva (Yanga) na Thomas Ulimwengu (TP Mazembe, DRC).

Wachezaji walioitwa kutoka katika kikosi cha maboresho ni kipa Benedicto Mlekwa (Mara), mabeki wa kati; Emma Simwanda (Temeke) na Joram Mgeveje (Iringa). Walinzi wa pembeni ni Omari Kindamba (Temeke), Edward Mayunga (Kaskazini Pemba) na Shiraz Sozigwa (Ilala).

Viungo ni Yusuf Suleiman Mlipili (Temeke), Said Ally (Mjini Magharibi), Abubakar Mohamed (Kusini Unguja), Hashim Magona (Shinyanga), Omari Nyenje (Mtwara) na Chunga Zito (Manyara).

Washambuliaji ni Mohammed Seif (Kusini Pemba), Ayoub Lipati (Ilala), Abdulrahman Othman (Mjini Magharibi), Paul Bundara (Ilala).

Wachezaji wa U 20 ni Mbwana Mshindo (Tanga) na Bayaga Fabian (Mbeya).Mayanga alisema kuwa kikosi hicho kimeingia kambini kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach.


Jiunge na mi kwa kubonyeza kwenye link zifuatazo chini ili kupata habari mpya zaidi. 

        FACEBOOK >>> TWITTER  >>> MATUKIO KWA NJIA YA SAUTI
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top