Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

Mashabiki wa Man U, wapanga kumfanyizia kocha David Moyes.

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Kundi la mashabiki Manchester United linajiandaa kuchangisha fedha za kutosha kwa ajili ya kukodi ndege ambayo itapita juu ya paa la uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa jumamosi ijayo dhidi ya Aston Villa, ikiwa na ujumbe  wa kumsema kocha wao David Moyes.

Mashabiki hao ambao juzi kwenye mechi dhidi ya Manchester City walikuwa wakimtukana Moyes pamoja na kocha wa zamani wa klabu hiyo Sir Alex Ferguson na hata kufikia hatua ya kutaka kulishusha bango la kumsifu Moyes liliopo kwenye jukwaa la Stretford End.

wanasema wanataka kuonyesha namna walivyochoshwa na kocha huyo.Kwa mujibu wa mtandao wa jarida la mashabiki wa United fanzine, itawagharimu kiasi cha £840 ili kuweza kufanikisha mpango huo siku ya jumamosi na tayari michango ya fedha imeshaanza kukusanywa.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top