Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

Marekebisho ya barabara wilaya ya Temeke.

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Ile ahadi ya kulekebisha barabara sasa tayari imeanza kutekelezwa, juzi ilianzishwa rasmi huko Temeke ambapo wahusika wa kutengeneza barabara hizo wanasema "kazi ni nzuri japokuwa inausumbufu wa hapa na pale kulingana na mda tunao utumia katika utendaji wa kazi yetu".

Tunalazimika kurekebisha barabara hizi nyakati za usiku kwa ajili ya kukwepa usumbufu wa magari nyakati za mchana.

Mwanzoni mwa zoezi ili tulianza kuchonga na kuweka sawa maeneo yanayo hitaji kufanyiwa marekebisho, kisha hawamu ya kusawazisha hufanyika nyakati za usiku.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top