Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

Malaysia arlines report.

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Ndege ya Malaysia iliyopotea siku 14 zilizopita, inasadikika kuwa imeanguka kwenye bahari ya Hindi.

wafanya utafiti kutoka mataifa mbali mbali duniani likiwemo taifa la Italy, jana walitoa report zao kuhusu majibu ya upotevu na utafutaji wa ndege hiyo na kusema kwamba, vipimo vyao ikiwemo satelite nk, vinaonesha kwamba ndege hiyo ya malaysia inasadikika kuwa imeanguka ndani ya bahari ya hindi.


Ndege hii ya malaysia inasadikika kupoteza mawasiliano pindi ilipofika katika eneo linalo onekana hapo chini kwenye ramani.


Baada ya kuanza uchunguzi wa ndege hiyo, ndipo walipo baini kuwa ndege iyo inasadikika kuwa katika eneo hili, kama ramani inavyo onesha hapo chini.

pia wataaramu hao wanaendelea kwa kusema kwamba wamebaini mabaki ya ndege hiyo ndani ya bahari ya hindi, ambapo vipimo vinaonesha kwamba kutoka umbali wa mabaki hayo mpaka usawa wa bahari ni umbali wa 2,260KM.

 Ifuatayo ni picha ya satelite ambayo inaonesha mabaki hayo ya ndege ya malaysia, kama jinsi inavyo onekana hapo kwenye picha hapo chini.

 Lakini mbali na uwasilishaji wa report hiyo, bado tafiti za uchunguzi wa ndege hiyo bado unaendelea mpaka pale watakapo toa final report.


Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top