Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MAMBO YALIVYOKUWA KWA WAKAZI WA MABONDENI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Hali ya wasi wasi inawakumba sehemu kubwa ya wakazi wa Dar es Salaam kutokana na mfuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha.

Kutokana na hali hiyo serikali imewashauri wakazi wa jiji hilo kuu la biashara Tanzania, kuelekea maeneo ya nyanda za juu na kutoka maeneo ya mabonda.

Maafisa wanasema wanafanya kila wawezalo kuwasaidia wanohitaji msaada baada ya kukoseshwa makazi, lakini hawajaweza kuthibitisha idadi ya watu waloathiriwa na walofariki. vyombo vya habari vinatoa idadi zinazotofautiana kati ya mtu moja kufariki hadi wanne.

Wakazi wa Dar Es Salaam wakizungumza na Sauti ya Amerika wanaulaumu uzembe wa serikali kwa mafuriko hayo, huku wengine wakidai ni ukosefu wa miundo mbinu madhubuti kuweza kuruhusu maji kupita katika mitaro bila ya tatizo.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top