Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WASAFIRI MNAOTUMIA TRENI HII NI HABARI NJEMA KWENU

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Serikali imesema kuwasili kwa mabehewa mapya ya treni 72 kutaiwezesha kampuni ya TRL kuimarisha safari za kusafirisha abiria kwenda Mikoa ya Mwanza na Kigoma mara tatu kwa wiki.

Pia kutokana na ubora wa mabehewa hayo,TRL inataraji kuanzisha treni maalum kutoka Dar es salaam kwenda Mwanza na Kigoma itakayosimama kwenye vituo vikubwa pekee.
Mwakyembe alisema treni hiyo itakua na uwezo wa kusafiri kwa muda mfupi zaidi kulinganisha na safari za sasana alisema lengo la Serikali ni kuimarisha usafiri wa reli na kuifanyaTRL ijiendeshe pasipo kutegemee ruzuku kutoka Serikalini.
Aliongeza kuwa mabehewa hayo yalinunuliwa na Serikli ikiwa ni sehemu ya utekelezaji mpango wa matokeo makubwa sasa,ambapo mabehewa 274 yamekwishanunuliwa na kugharimu zaidiya bilioni200.
 


Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo hapo chini.

    
In order you follow me just click one of the Icon Button above.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top