Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

UTOROSHAJI WA WANYAMA PORI 100 WAZUA UTATA MKUBWA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Shirika la Polisi la kimataifa Interpol imewapigia magoti Watanzania ikitaka msaada wao katika kumsaka mtuhumiwa wa kwanza wa kesi ya utoroshwaji wanyamapori hai 100 kwa ndege ya jeshi ya Pakistan kupitia uwanja wa ndege wa Kilimanjaro KIA.


Hii ni mara ya kwanza kwa Interpol kuomba msaada huo baada ya mtuhumiwa huyo Ahmed Kamrani kutoweka baada ya kubainika kuwa anasakwa kwa tuhuma za kutorosha wanyama hao kwa msaada wa raia wa Tanzania ambao baadhi yao wamekamatwa na kesi inaendelea mjini Moshi.
Shirika hilo limetoa orodha ya watu tisa ambao limewaelezea kuwa ni waharibifu wa mazingira kwa kuhusika kwenye utoroshaji huo wa wanyama,wakiwemo Twiga wanne na ndege wa aina mbalimbali,uliofanyika Novemba 24,tukio ambalo Interpol wamelifananisha na hadithi ya Nuhu kuingiza viumbe kwenye safina kabla ya gharika.
Interpol imefikia hatua ya kuwatafuta maharamia hao kwa udi na uvumba katika operesheni kubwa iliyoanzishwa Oktoba mwaka huu ikiwalenga watuhumiwa wa uharamia ziadi ya 139 kati ya nchi36 kote duniani ikiwemo Tanzania.
 


Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo hapo chini.

    
In order you follow me just click one of the Icon Button above.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top