Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

HABARI NJEMA KWA WATUMIAJI WA USAFIRI WA NDEGE TZANIA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Watu wengi wamekuwa watumiaji wa usafiri wa anga Tanzania kwa kipindi cha miaka ya hivi karibuni ukilinganisha na miaka ya nyuma ilivyokuwa, lakini good news ya leo imeripotiwa na kituo cha ITV ambapo idadi ya mashirika ya ndege kutoka nchi mbalimbali imeongezeka na kufikia 18.
Hii ni moja ya habari nzuri kwa wale wote ambao wanatumia usafiri wa anga kwa Tanzania ndani ya mwaka 2014.
Kuongezeka kwa mashirika hayo kunafanya kukua kwa huduma hiyo na kurahisisha huduma hiyo kwa wasafiri, lakini hata Serikali pia inapata pato linalotokana na malipo ambayo kila ndege inayotua inalipia tozo ambapo malipo hayo huzingatia uzito wa Ndege.

“… Tunafanya kazi na mashirika haya tunazungumza nao, tumeajiri Consultant ambaye ndio kazi zake hizi routs, tumekaa naye yeye ndio anazionyesha hizi Airline kwamba ukienda Dar es Salaam utapata abiria hawa na hawa… siyo inakuwa mtu anakaa tu nyumbani anaota ndege zinakuja… kazi inafanyika chini ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege.
 


Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo hapo chini.

    
In order you follow me just click one of the Icon Button above.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top