Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

KIJANA WA MIAKA 23 AJIKATA UUME WAKE ETI KISA MAPENZI

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Tumesikia visa vingi ikiwemo vile vya kujiua ama kujidhuru kwa namna yoyote ambavyo vinasababishwa na mikasa ya mapenzi, kila kukicha tunasikia kisa ama visa vipya ambavyo watu wanajikuta wakijitenda kutokana na masuala ya mapenzi.

Oliver Ilic ambaye ana umri wa miaka 23, leo kaingia kwenye orodha ya watu ambao wamewahi kujidhuru kutokana na masuala ya kutendwa kwenye mapenzi huko Macedonia.
Oliver alijikata sehemu zake za siri na kutupa katika kapu la kuwekea taka lililopo chumbani kwake, ambapo alifanyiwa operation ya kuzirudishia japo madaktari hawakuweza kutoa majibu kama jamaa huyo ataweza kurudi katika hali yake ya kawaida.
Jamaa huyo amesema aliamua kujikata baada ya mpenzi wake kumwambia kuwa hana jipya kitandani.
 


Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo hapo chini.

    
In order you follow me just click one of the Icon Button above.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top