Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

TCRA NA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA NI NOMA SANA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Katika kuhakikisha uchochezi unaoharibu amani ya nchi Unathibitiwa wakati wa uchaguzi wa Serikali za mitaa,Serikali imeagiza Mamlaka ya sekta ya Mawasialino nchini  TCRA kuja na mwongozo wa Mamlaka za simu katika kuthibiti ujumbe mfupi kwa njia ya simu.
Waziri wa Mawasiliano Makame Mbarawa alisema ujumbe mfupi kwenye simu usipothibitiwa unaweza kuleta madhara makubwa wakati wa uchaguzi.
“TRCA mje na mwongozo wa makampuni ya simu hasa kuhusu ujumbe wa simu maana kama itaachwa hivi hivi wakati wa uchaguzi itakua ni hatari,Kenya ilifanya hili na ikafanikiwa,”alisema Mbarawa.
Tayari TCRA imeandaa miongozo ya namna ya kuripoti na kuandaa vipindi wakati wa uchaguzi kwa upande wa sekta ya utangazaji na wamiliki wa mitandao ya kijamii.
 


Kwa habari za Matukio Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani, Ungana nami kupitia Link zifuatazo hapo chini.

    
In order you follow me just click one of the Icon Button above.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top