Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

Habari-Kanisa la TAG lazindua Sherehe za miaka 75 ya Jubilee.

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Kuzinduliwa kwa sherehe za Jubilee ya miaka 75 ya Kanisa la Tanzania Assemblies of God  zilizofanyika Mkoani Mbeya siku ya Jumamosi wiki iliyopita na kuhudhuliwa na watumishi wa Mungu mbalimbali wakiwepo Askofu Mkuu wa Kanisa hilo Dr Barnabas Mtokambali,Makamu Askofu Mkuu wa TAG Rev Dr Magnus Mhiche,Katibu Mkuu wa TAG, Rev. Ron Swai na kaimu Askofu Mkuu Msaidizi wa kanisa la EAGT Mchungaji.

Mwaisabila sherehe hizo za Miaka 75 ya TAG zinategemewa kufikia kilele chache mwezi wa saba waka huu 2014.Katika Siku hiyo kulitanguliwa kuzinduliwa kwa Jengo jipya la Kanisa la Shillo huko Mbalizi ambalo inaaminiwa kuwa Kanisa la kwanza la TAG mkoani mbeya, Askofu  Mkuu wa TAG .Dr Barnabas Mtokambali ndiye aliye zindua jengo hilo na kuweka jiwe la Msingi.

Mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa MkoaMbeya Abbas Kandoro aliyewakilishwa na Mkuu wa Wilaya mbeya vijijini.Pia sherehe hizo ziliudhiliwa na Wamissionary wa TAG kutoka Marekani kuhudhulia tukio hilo.
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top