TAMAA YA PESA BINTI APOTEZA MAISHA YAKE.
Sijui
ni tabia au ni destuli ya mtu, au uchu wa kupenda kuchezea au kuchezewa
nyeti? mimi kiukweli sijui, ila nikwamba Msichana mmoja mpenda pesa
alomtoroka mme wake na kwenda kwa hawara aliyefahamika kwa wengi katika
eneo jilani ambalo mke wa mtu pamoja na familia yake walikuwa
wakiishi,alitoloka akiwa na lengo la kumsaliti mmewe, Ghafla hawara
alibadilika nakua Chatu kisha akaanza kummeza mke wa mtu huyo.
Picha
iliyopo apo juu ilichukuliwa kwa njia ya simu na mmoja wa wahudumu wa
hoteli ambayo watu hawa walienda kupatumia kama sehemu yao ya
kujivinjari, kwaiyo picha hiyo itatumika ili kusaidia katika uchunguzi
wa polisi. Jambo hili la kusikitisha na kuustajabisha limetokea huko
mkoani Mwanza.
BOFYA HAPA KUPATA HABARI ZOTE ZA MATUKIO
BOFYA HAPA KUPATA HABARI ZOTE ZA MATUKIO