Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

Majina ya wasanii watakaowania tuzo za EATV yatajwa, bofya hapa kuyaona

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.
Awamu ya kwanza ya kutaja majina ya wasanii watakaowania tuzo za EATV kwa mwaka huu wa kwanza yametajwa Jumanne hii. 

Kwa kuanzia yametajwa majina ya wasanii kutoka katika vipengele viwili kati ya kumi vilivyopo kwenye tuzo hizo huku zoezi hilo likitarajiwa kufanyika kwa siku nne ambapo litakamilika Ijumaa hii ya Novemba 11. 

Hii ni orodha ya wasanii waliotajwa kwenye vipengele hivyo. 

Mwanamuziki bora chipukizi 

Man Fongo 
Feza Kessy 
Ruky Baby 
Mayunga 
Bright 

Muigizaji bora wa kiume 

Saidi Ali – Ndugu wa mume 
Meya Shabani – Profile 
Daudi Tairo (Duma) – 
Salim Ahmed (Gabo) – Safari ya Gwalu 
Dotto Matotora – Likwacha Lala
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top