Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

Ajali iliyotokea eneo la Msikitini yasababisha foleni kubwa kwa wakazi wa Mbagala

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

Kitendo cha kutokea ajali maeneo ya Maikitini eneo ambalo liko katikati ya Mrongani na Mission wilaya ya Temeke kumesababisha foleni kubwa sana kwa watumiaji wa barabara ya Kirwa Road.

Ambapo folen ya kutoka mjini kwa walio fangulia imeanzia Bandari na kuishia eneo la Mission. Magari yanayotoka mjini kuelekea Mbagala rangi tatu yakifika Mtongani yanatumia barabara ya magari yanayotoma mbagala kuelekea mjini na kwingineko.
Na kwa wale wanaotoka Mbagara kuelekea maeneo ya mjini, kama Tandika, Buguruni, Ubungo nk, foreni yao imeanzia Zakhem hadi Mission. 
Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top