Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

VICHEKESHO VINNE VYA SIKU YA LEO VIKO HAPA USIKOSE KUVISOMA

Naomba nikushirikishe na wewe pia kwamba kuna mambo mengi na mazuri ndapi ya picha iliyopo hapo chini ibofye uone.

1. Juma: Uwa bibi yako anasoma Biblia??
Naumi: Ndio ni kweli uwa anasoma biblia, tena usoma usiku na mchana.

Juma: Ivi unahisi ni kwanini uwa anasoma sana biblia kiasi hicho??
Naumi: Nahisi anakalili kwa ajili ya siku yake ya mwisho.

2. Mwalimu akamuuliza "John kwa nini umechelewa kufika shuleni??"
John akamjibu Mwalimu "Ni kwa sababu ya alama za barabarani"

Mwalimu akamuuliza tena "Alama gani?"
John akamjibu "Zile alama zilizoandikwa nenda pole pole shule iko karibu"

3. Msichana akamuuliza muhudumu wa train "Hii ndiyo train yangu??

Muhudumu akamjibu yule dada "Hapana train hii ni mali ya shirika la Reli

Msichana akasema "Acha kunichekesha. Namaanisha kuwa naweza kuchukua train hii mpaka New Delhi??"
Muhudumu akamjibu "Hapana dada. Kwanza naogopa maana train hii ni nzito sana huwezi kuinyanyua hata second 1.

4. Mvurana alikuta Miss call kwenye simu yake. Akaenda shule kisha akamuuliza mwalimu wao wa kike aitwaye Miss. "Miss kwa nini jana umenitumia call??"

Mwalimu huyo akamjibu mtoto yule "Hapana mimi sijakutumia call?

Mtoto akajibu, "Ok, vizuri "mimi jana niliporudi nyumbani simu yangu ilisema nimepata Miss call"

Usikose kuangalia Movies mbalimbali kutoka kila kona ya dunia, bofya kwenye picha iliyopo hapo chini kuona izo muvies
Nobody is a total failure if he dares to try to do something worthwhile. Tough times never last, but tough people do. The place broke up with applause. Those thirty - five hundred farmers who had lost hope and had battled depression found that hope.

Share habari hii kadri uwezavyo.

Contact us on mutalemwa.oesmo@gmail.com. Powered by Blogger.
© Copyright Mutalemwa Blog
Back To Top